pia katika website hii utapata picha, habari,vituko,vimbwanga na vichekesho mpaka choka mwenyewe na dogo zilla'web site like,join in, kupitia facebook na twiter na tagged na teen tz
cm no.0766354356
facebook=golden mabanda/dogo zilla/smile magazne/dogo z
twiter=dogo zilla/dogo zila
blog=wwwrebbeone.blogspot.com
this is my contacts
huyu ndie mshindi wa school bush 2012 kagera
msanii wa kzazi kipya golden gozbert maarufu kama dogo zilla(Raisi wa ishoo boyz kagera) alie kuwa mshindi wa tano katika shindalo la kusaka vipaji vya wasanii mkoani kagera amefunguka na kusema kuwa"mziki tunaufanya lakini baadhi ya unatulipa baadhi yao autulipi so, we have to be economized kwa hizi money tunazo zipata sio kuuza jina tu"
SWALI:vp! ww shoo nafanyiaga sh, ngapi
DOGO ZILLA:sizidi laki 1 nikiwa nawalipa madancer
SWALI;vp,unaishi na nani pale home!!!!!
DOGO ZILLA: nipo alone
SWALI:vp? kuhusu skendo ya bush kwamba amkulipwa chochote ni kweli!
DOGO ZILLA: Apana sio hivyo joh! tulilipwa na tulisoma pale open wengine ni wazushi tu
hiii sasa ilikuwa shida kwa wale wanaozusha maneno huyu ni young zilla au rais wa ishoboyz kagera anapenda sana ukimwita dragon kazi ni kwako!!!!!!!!!!
HAWA ndo WASANII SITA (6) wa BONGO FLEVA WENYE KUHESHIMIKA SANA TANZANIA.
dogo zilla web site ur welcome |
WEMA SEPETU AZIDI KUMPA SHAVU KAJALA MASANJA...... |





